MSHAMBULIAJI wa
Arsenal, Lukas Podolski atalazimika kukaa nje ya uwanja takiribani wiki 8 hadi 10 kutoka na majeraha ya misuli
ya paja.
Majeraha hayo aliyapata katika mchezo wa kufuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki.
Majeraha hayo aliyapata katika mchezo wa kufuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki.
No comments:
Post a Comment