Thursday, July 25, 2013

Big Four kwa mtindo wa NYEUSIIIIII
BAADHI timu kubwa zinanazo shiriki Ligi Kuu England maarufu kama 'Big four' zikiwamo Mabingwa wa England, Manchester United, Manchester City na Chelsea zimejikuta zikiangukia kwenye jezi aina moja zenye rangi nyeusi. Jezi hizo watazitumia katika mechi za ugenini tu, ziangalie kwenye picha hapo chini baadhi ya wachezaji wamezivaa kwa ajili ya kuzitambulisha.
Man United
Man City
Chelsea

No comments:

Post a Comment